This job listing has expired and may no longer be relevant!
28 Jul 2020

Msaidizi Wa Maktaba Daraja La at Parliament of Tanzania

Never Miss a Job Update Again. Click Here to Subscribe


Job Description


POST MSAIDIZI WA MAKTABA DARAJA LA II – 1 POST
POST CATEGORY(S) HR & ADMINISTRATION
EMPLOYER Parliament of Tanzania
APPLICATION TIMELINE: 2020-07-24 2020-08-06

JOB SUMMARY N/A

DUTIES AND RESPONSIBILITIES

i. Kuandikisha wasomaji;

ii. Kupanga vitabu katika rafu (shelves);

iii. Kuazimisha na kupokea vitabu vilivyoazimwa;

iv. Kukarabati vitabu vilivyochakaa; na

v. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Kazi.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE

Kuajiriwa wenye Cheti cha Mtihani wa Taifa wa Kidato cha IV ambao wamefaulu

Mafunzo ya Wasaidizi wa Maktaba (Library Assistants Certificates Course)

yanayotolewa na Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania au wenye Cheti

kinacholingana na hicho kutoka kwenye Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
REMUNERATION PSSB

Sharing is Caring! Click on the Icons Below and Share




Method of Application

Submit your CV and Application on Company Website : Click Here

Closing Date : 8th August, 2020.







Dont Miss Latest Jobs In Tanzania. Subscribe Today. CLICK HERE





Apply for this Job