This job listing has expired and may no longer be relevant!
2 Sep 2020

Fundi Sanifu Daraja La Ii (Umeme) at Halmashauri ya Wilaya Simanjiro

Never Miss a Job Update Again. Click Here to Subscribe


Job Description


POST FUNDI SANIFU DARAJA LA II (UMEME) – 1 POST

POST CATEGORY(S) ENGINEERING AND CONSTRUCTION
EMPLOYER Halmashauri ya Wilaya Simanjiro
APPLICATION TIMELINE: 2020-09-01 2020-09-14
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES

i. Kufanya ukaguzi wa ubora wa magari ya Serikali na kurekebisha ipasavyo;
ii. Kufanya upimaji wa Mitambo na Umeme kufuatana na maelekezo ya Mhandisi;
iii. Kufanya matengenezo ya mifumo ya umeme;
iv. Kufanya kazi za kutengeneza mitambo,magari na vifaa vya umeme; na
v. Kufanya usanifu wa miradi midogo midogo ya umeme (kusimamia jinsi ya kufunga mashine mpya zinazowekwa kwenye karakana za Ufundi na Umeme.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne (IV) au sita (VI) na kufuzu mafunzo ya Ufundi ya miaka miwili/Stashahada katika fani ya Umeme kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
REMUNERATION TGS C

Sharing is Caring! Click on the Icons Below and Share




Method of Application

Submit your CV and Application on Company Website : Click Here

Closing Date : 14th September, 2020.







Dont Miss Latest Jobs In Tanzania. Subscribe Today. CLICK HERE





Apply for this Job