This job listing has expired and may no longer be relevant!
9 May 2020

Fundi Sanifu Daraja La Ii (Kilimo) at Tanzania Agricultural Research Institute (TARI)

Never Miss a Job Update Again. Click Here to Subscribe


Job Description


POST FUNDI SANIFU DARAJA LA II (KILIMO) – 1 POST

POST CATEGORY(S) ENGINEERING AND CONSTRUCTION
EMPLOYER Tanzania Agricultural Research Institute (TARI)
APPLICATION TIMELINE: 2020-05-07 2020-05-21
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES

i. Kutoa ushauri kwa wakulima kuhusu matumizi bora ya zana za kilimo kwa vitendo;

ii. Kuwafundisha wakulima kutengeneza na kufanya matengenezo ya zana za kilimo;

iii. Kuendeleza kilimo cha zana;

iv. Kukusanya na kutunza takwimu za zana za kilimo;

v. Kukusanya na kutunza takwimu za kilimo cha umwagiliaji;

vi. Kusaidia katika ujenzi wa mifereji ya umwagiliaji;

vii. Kushiriki katika savei kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji; pamoja na

viii. Kushiriki katika ujenzi wa malambo madogo.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Sita (VI) waliofuzu mojawapo ya mafunzo yafuatayo: Mafunzo ya miaka miwili (2) ya stashahada (Diploma) ya ufundi sanifu wa vyombo vya kilimo (agro-mechanics) au ufundi sanifu Umwagiliaji maji.
REMUNERATION TGS C

Sharing is Caring! Click on the Icons Below and Share




Method of Application

Submit your CV and Application on Company Website : Click Here

Closing Date : 21st May, 2020.







Dont Miss Latest Jobs In Tanzania. Subscribe Today. CLICK HERE





Apply for this Job