This job listing has expired and may no longer be relevant!
28 Aug 2020

Afisa Mazingira Daraja La at Halmashauri ya Jiji la Dodoma

Never Miss a Job Update Again. Click Here to Subscribe


Job Description


POST AFISA MAZINGIRA DARAJA LA II – 1 POST

POST CATEGORY(S) HEALTHCARE AND PHARMACEUTICAL
RESEARCH,SCIENCE AND BIOTECH
EMPLOYER Halmashauri ya Jiji la Dodoma
APPLICATION TIMELINE: 2020-08-27 2020-09-10
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES

i. Kutoa ushauri na kusimamia njia bora za usambazaji wa maji safi na

salama na utupaji wa taka;

ii. Kuelimisha jamii juu ya mbinu za kujikinga na kupambana na mlipuko wa

magonjwa;

iii. Kukusanya na kuchambua takwimu za Afya ya Mazingira;

iv. Kusimamia utekelezaji wa Sheria zinazohusu Afya ya Mazingira;

v. Kuandaa taarifa za utekelezaji na kuziwasilisha katika mamlaka husika;

vi. Kuandaa na kufuatilia mikakati ya kuboresha na kusimamia usalama na

afya kazini;

vii. Kuhakiki afya bandarini na mipakani;

viii. Kuratibu na kuhakiki kaguzi za vyakula, maji, kemikali, viwanda, sehemu za

kazi na maeneo ya jumuiya; na

ix. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusika

na elimu, uzoefu na ujuzi wake.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE

Kuajiriwa mwenye Shahada ya Sayansi za Afya ya Mazingira na mafunzo kazini na kusajiliwa na Bodi ya Wataalamu wa Afya Mazingira.
REMUNERATION TGHS C.

Sharing is Caring! Click on the Icons Below and Share




Method of Application

Submit your CV and Application on Company Website : Click Here

Closing Date : 10th September, 2020.







Dont Miss Latest Jobs In Tanzania. Subscribe Today. CLICK HERE





Apply for this Job